MASWALA MUHIMU KWA WATOTO WAKATI HUU WA COVID 19

Je ni vipi tunaweza kuzungumza na Watoto kuhusiana na ugonjwa wa COVID 19 na pia, ni maswala yapi wanafaa kujua? Sikiliza mchezo huu wa kuigiza ulioandaliwa na redio ya jamii ya Mtaani jijini Nairobi.

.

Share This